Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    KahawatunguKahawatungu
    Button
    • HOME
    • NEWS
    • BUSINESS
    • KNOW YOUR CELEBRITY
    • POLITICS
    • TECHNOLOGY
    • SPORTS
    • HOW-TO
    • WORLD NEWS
    KahawatunguKahawatungu
    EAST AFRICA

    Rais Magufuli Atoa Shilingi Milioni 200 Kufadhili Kituo Cha Redio Cha Magic FM, Kinachomilikiwa Na CCM

    Francis MuliBy Francis MuliFebruary 5, 2019Updated:February 7, 2019No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Email
    Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli. [PICHA/ KWA HISANI]
    Share
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Pinterest Email Copy Link

    Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli. [PICHA/ KWA HISANI]
    Rais wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amehaidi shilingi milioni 200 (Ksh 8.6 milioni) kwa ajili ya kufadhili ununuzi wa vifaa vipya vya kituo cha redio cha Magic FM.

    Kituo hicho kinamilikiwa na shirika la Africa Media Group (AMG) ambalo linamilikiwa na chama tawala, Chama Cha Mapinduzi (CCM).

    Akitoa ufadhili huo Rais Magufuli amewarai wanahabari wa kituo hicho kuzalisha maudhui ambayo yatawasaidia Watanzania yakiwemo kilimo, biashara, ufugaji na uvuvi.

    “Nataka Africa Media Group Ltd iwe na vyombo vyenye nguvu vinavyotazamwa kila mahali hapa nchini hadi nje ya nchi. Tanzania haiwezi kuwa soko la kuangalia vyombo vya kutoka nje ya nchi. Watu waangalie vyombo vya habari vya nje lakini vyombo vyetu viwe ndio mwongozo wa maisha ya Watanzania zaidi ya milioni 50,” alisema Magufuli.

    Aidha Dkt Magufuli amehakikishia wananchi wake kwamba nchi inasonga vyema kiuchumi na huduma za kijamii kama vile afya, elimu, maji, nishati na miundombinu ya usafiri.

    Katika taarifa kwa vyombo vya habari, Rais Magufuli amewarai raia kuunga mkono juhudi za serikali za kupambana na dhuluma na utumizi mbaya wa rasilimali za taifa.

    Read: Trans Nzoia MCA Phyllis Njeri Arrested For Drunk Driving With Child On Board

    Katika ziara yake mjini Dar-es-Salaam ambako alizuru miradi kadhaa ya CCM, Rais Magufuli ameshikilia kwamba serikali yake inaendelea kuutimiza wajibu wake wa kutetea Watanzania kwa ujumla.

    Je, unayo habari ya kusisimua ambayo ungependa tuiandike? Itume kwenye barua pepe Editor@kahawatungu.com  ama WhatsApp +254707482874.

    Email your news TIPS to Editor@Kahawatungu.com — this is our only official communication channel

    John Magufuli
    Follow on Facebook Follow on X (Twitter)
    Share. Facebook Twitter WhatsApp LinkedIn Telegram Email
    Francis Muli
    • Website
    • Facebook
    • X (Twitter)
    • Instagram
    • LinkedIn

    Follow me on Twitter @francismuli_ Email: Editor@Kahawatungu.com

    Related Posts

    Joseph Kivunzi Reappointed As KDF Pensions Appeals Committee Chair

    June 21, 2025

    AG Appoints Task Force To Finalise Justice Council Bill

    June 21, 2025

    Govt Sets High Expectations During Cabinet Mid-Term Retreat In Karen

    June 21, 2025

    Comments are closed.

    Latest News

    How To Make A 3D Skeleton Model

    June 21, 2025

    How To Maintain Discipline In The Classroom

    June 21, 2025

    How To Make A Bean Bag

    June 21, 2025

    How To Look Beautiful

    June 21, 2025

    How To Love An Englishman

    June 21, 2025

    How to Lock Hidden Photos on iPhone

    June 21, 2025

    Joseph Kivunzi Reappointed As KDF Pensions Appeals Committee Chair

    June 21, 2025

    AG Appoints Task Force To Finalise Justice Council Bill

    June 21, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    © 2025 Kahawatungu.com. Designed by Okii.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.

    Go to mobile version