Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    KahawatunguKahawatungu
    Button
    • NEWS
    • BUSINESS
    • KNOW YOUR CELEBRITY
    • POLITICS
    • TECHNOLOGY
    • SPORTS
    • HOW-TO
    • WORLD NEWS
    KahawatunguKahawatungu
    EAST AFRICA

    Wanafunzi Watatu Nchini Burundi Wakabiliwa Na Kifungo Gerezani Kwa Kumchora Rais Nkurunziza Kikejeli

    Francis MuliBy Francis MuliMarch 22, 2019No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Email
    Mchoro ulioleta utata. [PICHA/ KWA HISANI]
    Share
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Pinterest Email Copy Link

    Wanafunzi watatu wa kike nchini Burundi walitiwa mbaroni wiki iliyopita kwa sababbu ya kumdhalilisha Rais Pierre Nkurunziza kupitia kuichora picha yake kikejeli.

    Kulingana na sheria ya nchi hiyo, wanafunzi hao sasa wanakabiliwa na kifungo cha miaka mitano gerezani kutokana na kosa hilo.

    .Wanagenzi hao watafikishwa mahakamani Jumatatu ijayo kwa kosa la kumkashfu mkuu wa nchi.

    Vyombo vya habari nchini humo vinaripoti kwamba wanafunzi hao walikamatwa na wengine wanne, ambao waliachiliwa baadaye katika hali tatanishi.

    Sio mara ya kwanza nchi hiyo imejipata kwenye kurunzi la kimataifa kwa kuwakamata wanafunzi wanaokejeli kiongozi wa nchi.

    Soma: Samaki Tani 11 Kutoka China Wateketezwa Tanzania Kwa Madai Ya Sumu

    Mnamo mwaka wa 2016, vyombo vya dola nchini humo viliwakamata wanafunzi nane wa shule ya sekondari kwa tuhuma za kumkashfu Rais baada ya kuchora michoro isiyofaa dhidi yake.

    Watetezi wa haki za kibinadamu nchini humo wamekashifu utawala wa Rais Nkurunziza kwa wanachokitaja kuwa unyanyasaji wa haki za wanafunzi wasiokubaliana na uongozi wake.

    Familia za wanafunzi hao zimeelezewa kuwa na hofu kwamba huenda serikali ikawageukia baada ya kuwaweka wanafunzi hao rumande muda huo wote.

    Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874. You can also find us on Telegram through www.t.me/kahawatungu

    Email your news TIPS to Editor@Kahawatungu.com — this is our only official communication channel

    Burundi Pierre Nkurunziza
    Follow on Facebook Follow on X (Twitter)
    Share. Facebook Twitter WhatsApp LinkedIn Telegram Email
    Francis Muli
    • Website
    • Facebook
    • X (Twitter)
    • Instagram
    • LinkedIn

    Follow me on Twitter @francismuli_ Email: Editor@Kahawatungu.com

    Related Posts

    Rwanda closes thousands of evangelical churches

    December 22, 2025

    Tanzania tells non-essential workers to remain home on Independence Day

    December 9, 2025

    Why are they targeted by Tanzanian authorities

    December 5, 2025

    Comments are closed.

    Latest Posts

    Driving Home for Christmas singer Chris Rea dies aged 74

    December 23, 2025

    CBS defends pulling 60 Minutes segment about Trump deportations

    December 23, 2025

    Gold and silver hit records as investors hunt for safety

    December 23, 2025

    Seven KDF soldiers freed on Sh500,000 bonds in Sh192 million meth case

    December 23, 2025

    Court suspends garnishee orders that froze all Ketraco bank accounts over Sh10 billion claim

    December 23, 2025

    Police seek 15 days to probe alleged terror links against Turkish national

    December 23, 2025

    2025 Best AI Photo Tools for Identity Content. Face Swap and Headshots

    December 23, 2025

    Court rules KETRACO violated manager Wamukota’s right through compulsory leave

    December 22, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    © 2025 Kahawatungu.com. Designed by Okii.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.