Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    KahawatunguKahawatungu
    Button
    • NEWS
    • BUSINESS
    • KNOW YOUR CELEBRITY
    • POLITICS
    • TECHNOLOGY
    • SPORTS
    • HOW-TO
    • WORLD NEWS
    KahawatunguKahawatungu
    EAST AFRICA

    Tanzania Yabatilisha Sherehe Za Siku Ya Wanawake Duniani, Yavitaka Vyama Pinzani Kujiunga Na Serikali Katika Maadhimisho Rasmi

    Francis MuliBy Francis MuliMarch 8, 2019No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Pinterest Email Copy Link

    Serikali ya Muungano wa Tanzania imebatilisha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani katika mikoa miwili, na kuviomba vyama andalizi kujiunga na serikali katika maadhimisho rasmi.

    Sherehe hizo zilikua zimeandaliwa na chama cha Chadema katika Mkoa wa Geita na Act Wazalendo katika Mkoa wa Katavi.

    Aidha, barua kutoka wakuu wa jeshi la polisi la mikoa yote miwili zilizolifikia chapisho la Kahawa Tungu zimewataka wakuu wa vyama hivyo kuweka kando mipangilio yao na badala yake kujiunga na serikali kuadhimisha siku hiyo.

    Read: Indo Solutions Yashutumiwa Baada Ya Kukiuka Mkataba Wa Korosho Na Nchi Ya Tanzania

    “Kwa barua hii ninawazuia kufanya maadhimisho hayo katika ukumbi wa Moyo wa Huruma na badala yake wanawake wote waungane na wanawake wenzao katika maeneo hayo yaliyotajwa kiserikali. Hii ni pamoja na kuzuia kufanya matangazo yoyote yanayohusiana na kufanya maadhimisho hayo kwa itikadi za kanisa,” alisema Ally A Kitumbu, Mkuu wa Polisi wa Geita.

     

     

    Hali ilikua hiyo hiyo katika Mkoa wa Katavi, Wilaya ya Mpanda ambapo mkuu wa polisi katika wilaya hito alisema: “Kwa kuwa ni siku ya kitaifa ya wanawake haitawezekana kuwepo makundi mawili katika maadhimisho hayo. Nawashauri tuungane pamoja siku hiyo kimkoa au mnaweza kufanya siku moja kabla ya tarehe 08/03/2019 au baada ya tarehe hiyo.”

    Wa aidha, kiongozi wa Chama cha Act Wazalendo Zito Kabwe Ruyagwa ametaja kitendo hicho kama dalili za udikteta kutoka kwa Raisi John Pombe Magufuli.

    “The letters seems similar contentwise signifying ‘orders from the top’ (Barua hizi zinafanana katika yaliyomo, zikiashiria ‘amri kutoka juu’,” alisema Kabwe katika mtandao wa kijamii wa Twitter.

    Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874. You can also find us on Telegram through www.t.me/kahawatungu

    Email your news TIPS to Editor@Kahawatungu.com — this is our only official communication channel

    International Women's Day Tanzania
    Follow on Facebook Follow on X (Twitter)
    Share. Facebook Twitter WhatsApp LinkedIn Telegram Email
    Francis Muli
    • Website
    • Facebook
    • X (Twitter)
    • Instagram
    • LinkedIn

    Follow me on Twitter @francismuli_ Email: Editor@Kahawatungu.com

    Related Posts

    Man fatally slashes child, injures two others in Kakamega

    April 19, 2026

    Man dies after assault during burial preparations in Nyamira village

    April 19, 2026

    Vocal Kisii UDA MCA Raises Alarm Over Alleged Death Threats

    April 18, 2026

    Comments are closed.

    Latest Posts

    Man fatally slashes child, injures two others in Kakamega

    April 19, 2026

    Man dies after assault during burial preparations in Nyamira village

    April 19, 2026

    Vocal Kisii UDA MCA Raises Alarm Over Alleged Death Threats

    April 18, 2026

    Tinder and Zoom offer ‘proof of humanity’ eye-scans to combat AI

    April 18, 2026

    One dead after car hits pedestrians in Melbourne, police say

    April 18, 2026

    Millions listen to Ethiopian star’s song taking swipe at government

    April 18, 2026

    French film star Nathalie Baye dies aged 77, media report

    April 18, 2026

    Iran closes Hormuz Strait again over US blockade with ships mid-transit

    April 18, 2026
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    © 2026 Kahawatungu.com. Designed by Okii.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.