‘Fagilia’ hit maker, Mr Nice has been in the music industry long before the Diamonds and Ali Kibas of this world. He has been in the game for over a decade but faded in the background just like many other artistes.
He recently made a come back but social media would not let him be and there were rumours of him being HIV positive, claims he has since denied.
Mr Nice was also rumoured to be living in poverty and was an alcoholic.
Speaking to eDaily, the singer refuted the claims saying the rumours were only mant to ruin his career.
“Kaka, niko freshi kabisa! Hivi tunapozungumza niko kwangu hapa Nairobi; hata ndiyo naamka. Ni mwili tu ndio umechoka kwa sababu nilipiga show kubwa Mtito Andei last weekend. Unajua ili mtu achape show nzuri, lazima atumie nguvu nyingi sana.”
He went on to add that,
“Hivi mimi ni kuchoka tu; si ati naugua ama ulofa umenimaliza kama vile watu wanvyosema katika mitandao ya kijamii. Na ningependa kusema kwamba wanaoneza uvumi huo ni mahaters tu; hawanitakii mema.”
Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874