Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    KahawatunguKahawatungu
    Button
    • NEWS
    • BUSINESS
    • KNOW YOUR CELEBRITY
    • POLITICS
    • TECHNOLOGY
    • SPORTS
    • HOW-TO
    • WORLD NEWS
    KahawatunguKahawatungu
    NEWS

    Mwanaume Ajinyonga Kakamega Baada Ya Mke Kumtoroka

    KahawaTungu ReporterBy KahawaTungu ReporterApril 29, 2019Updated:April 29, 2019No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Email
    Suicide Photo | Courtesy
    Share
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Pinterest Email Copy Link

    Biwi la simanzi limeikumba familia moja kutoka kijiji cha Embwambwa eneo  bunge la Lurambi kaunti ya Kakamega baada ya mwili wa mwanaume mmoja  kupatikana ukininginia kwa kamba chumbani mwake.

    Patrick Siteti, mwenye umri wa miaka 40, anadaiwa kujinyonga kwa kamba baada ya mkewe kumtoroka huku akimwachia mzigo wa kuwalea wanao.

    Kulingana na mamake marehemu Salome Siteti, mwendazake aliamua kuchukua hatua hiyo baada yake kuachwa na mkewe kutokana na hali yao ya ufukara.

    Soma: Burundi Yawaachilia Huru Wanafunzi Waliomkejeli Raisi Nkurunziza Kupitia Michoro

    Inaripotiwa kuwa jambo hili lilimfanya kusongwa na mawazo, na mara kwa mara amekuwa akijaribu kujitoa uhai kabla yake kuokolewa na jamaa zake.

    “Tangia kijana wangu abaki na upweke amekuwa akifanya vitu vya kushangaza, majuma kadhaa kabla ya tukio hili alijifungia kwa nyumba na kuiwasha moto kwa lengo la kujiteketeza lakini akaokolewa na ndugu zake kabla ya moto huo kuenea. Siku chache baadaye alijidunga kisu tumboni tukamkimbiza hospitalini. Amekuwa akisema amechoshwa na maisha na hawezi kuafiki majukumu yake kama baba wa familia,” alisema mamaye mwendazake.

    Uchunguzi wa polisi unaendelea.

    Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874. You can also find us on Telegram through www.t.me/kahawatungu

    Email your news TIPS to Editor@Kahawatungu.com — this is our only official communication channel

    Kakamega
    Follow on Facebook Follow on X (Twitter)
    Share. Facebook Twitter WhatsApp LinkedIn Telegram Email
    KahawaTungu Reporter
    • Website

    Email: Editor@Kahawatungu.com

    Related Posts

    Prosecution fights Anglo Leasing case in Court of Appeal

    February 4, 2026

    Mai Charoenpura Siblings: Meet Venic White, Vipavee Maguire and Intira Charoenpura

    February 4, 2026

    Kenya, UK sign MoU to boost border security in frontier regions

    February 4, 2026

    Comments are closed.

    Latest Posts

    ‘Canada must preserve its independence’, former PM says at portrait unveiling

    February 4, 2026

    Signs of forced entry found at Arizona home of ‘Today’ show host Savannah Guthrie’s mother

    February 4, 2026

    Trump’s border czar says 700 immigration officers to leave Minnesota immediately

    February 4, 2026

    Stephen Miran resigns from the White House, keeping his seat at the Fed

    February 4, 2026

    Washington Post announces widespread layoffs, gutting numerous parts of its newsroom

    February 4, 2026

    Details of Jeffrey Epstein post-mortem released in latest files

    February 4, 2026

    Prosecution fights Anglo Leasing case in Court of Appeal

    February 4, 2026

    Create Nano Banana AI Images with Image-to-Image

    February 4, 2026
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    © 2026 Kahawatungu.com. Designed by Okii.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.