Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    KahawatunguKahawatungu
    Button
    • NEWS
    • BUSINESS
    • KNOW YOUR CELEBRITY
    • POLITICS
    • TECHNOLOGY
    • SPORTS
    • HOW-TO
    • WORLD NEWS
    KahawatunguKahawatungu
    NEWS

    Mwanaume Ajinyonga Kakamega Baada Ya Mke Kumtoroka

    KahawaTungu ReporterBy KahawaTungu ReporterApril 29, 2019Updated:April 29, 2019No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Email
    Suicide Photo | Courtesy
    Share
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Pinterest Email Copy Link

    Biwi la simanzi limeikumba familia moja kutoka kijiji cha Embwambwa eneo  bunge la Lurambi kaunti ya Kakamega baada ya mwili wa mwanaume mmoja  kupatikana ukininginia kwa kamba chumbani mwake.

    Patrick Siteti, mwenye umri wa miaka 40, anadaiwa kujinyonga kwa kamba baada ya mkewe kumtoroka huku akimwachia mzigo wa kuwalea wanao.

    Kulingana na mamake marehemu Salome Siteti, mwendazake aliamua kuchukua hatua hiyo baada yake kuachwa na mkewe kutokana na hali yao ya ufukara.

    Soma: Burundi Yawaachilia Huru Wanafunzi Waliomkejeli Raisi Nkurunziza Kupitia Michoro

    Inaripotiwa kuwa jambo hili lilimfanya kusongwa na mawazo, na mara kwa mara amekuwa akijaribu kujitoa uhai kabla yake kuokolewa na jamaa zake.

    “Tangia kijana wangu abaki na upweke amekuwa akifanya vitu vya kushangaza, majuma kadhaa kabla ya tukio hili alijifungia kwa nyumba na kuiwasha moto kwa lengo la kujiteketeza lakini akaokolewa na ndugu zake kabla ya moto huo kuenea. Siku chache baadaye alijidunga kisu tumboni tukamkimbiza hospitalini. Amekuwa akisema amechoshwa na maisha na hawezi kuafiki majukumu yake kama baba wa familia,” alisema mamaye mwendazake.

    Uchunguzi wa polisi unaendelea.

    Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874. You can also find us on Telegram through www.t.me/kahawatungu

    Email your news TIPS to Editor@Kahawatungu.com — this is our only official communication channel

    Kakamega
    Follow on Facebook Follow on X (Twitter)
    Share. Facebook Twitter WhatsApp LinkedIn Telegram Email
    KahawaTungu Reporter
    • Website

    Email: Editor@Kahawatungu.com

    Related Posts

    Court halts rolling out of National Infrastructure Fund

    December 25, 2025

    Son arrested over mother’s gruesome murder in Nyandarua

    December 24, 2025

    NTSA: 25 People Killed in Road Accidents on December 23

    December 24, 2025

    Comments are closed.

    Latest Posts

    Algerian law declares France’s colonisation a crime

    December 25, 2025

    Court halts rolling out of National Infrastructure Fund

    December 25, 2025

    BP sells stake in motor oil arm Castrol for $6bn

    December 25, 2025

    Colorado woman accused of killing her children extradited from UK to US

    December 25, 2025

    UK social media campaigners among five denied US visas

    December 25, 2025

    Venezuela accuses US of ‘extortion’ over seizure of oil tankers

    December 25, 2025

    Top 9 Lawyers in Ottawa for Civil, Commercial, and Regulatory Issues

    December 25, 2025

    Kisii Governor Arati, MPs spread smiles with Christmas tokens 

    December 24, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    © 2025 Kahawatungu.com. Designed by Okii.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.