Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    KahawatunguKahawatungu
    Button
    • NEWS
    • BUSINESS
    • KNOW YOUR CELEBRITY
    • POLITICS
    • TECHNOLOGY
    • SPORTS
    • HOW-TO
    • WORLD NEWS
    KahawatunguKahawatungu
    EAST AFRICA

    Wanafunzi Watatu Nchini Burundi Wakabiliwa Na Kifungo Gerezani Kwa Kumchora Rais Nkurunziza Kikejeli

    Francis MuliBy Francis MuliMarch 22, 2019No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Email
    Mchoro ulioleta utata. [PICHA/ KWA HISANI]
    Share
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Pinterest Email Copy Link

    Wanafunzi watatu wa kike nchini Burundi walitiwa mbaroni wiki iliyopita kwa sababbu ya kumdhalilisha Rais Pierre Nkurunziza kupitia kuichora picha yake kikejeli.

    Kulingana na sheria ya nchi hiyo, wanafunzi hao sasa wanakabiliwa na kifungo cha miaka mitano gerezani kutokana na kosa hilo.

    .Wanagenzi hao watafikishwa mahakamani Jumatatu ijayo kwa kosa la kumkashfu mkuu wa nchi.

    Vyombo vya habari nchini humo vinaripoti kwamba wanafunzi hao walikamatwa na wengine wanne, ambao waliachiliwa baadaye katika hali tatanishi.

    Sio mara ya kwanza nchi hiyo imejipata kwenye kurunzi la kimataifa kwa kuwakamata wanafunzi wanaokejeli kiongozi wa nchi.

    Soma: Samaki Tani 11 Kutoka China Wateketezwa Tanzania Kwa Madai Ya Sumu

    Mnamo mwaka wa 2016, vyombo vya dola nchini humo viliwakamata wanafunzi nane wa shule ya sekondari kwa tuhuma za kumkashfu Rais baada ya kuchora michoro isiyofaa dhidi yake.

    Watetezi wa haki za kibinadamu nchini humo wamekashifu utawala wa Rais Nkurunziza kwa wanachokitaja kuwa unyanyasaji wa haki za wanafunzi wasiokubaliana na uongozi wake.

    Familia za wanafunzi hao zimeelezewa kuwa na hofu kwamba huenda serikali ikawageukia baada ya kuwaweka wanafunzi hao rumande muda huo wote.

    Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874. You can also find us on Telegram through www.t.me/kahawatungu

    Email your news TIPS to Editor@Kahawatungu.com — this is our only official communication channel

    Burundi Pierre Nkurunziza
    Follow on Facebook Follow on X (Twitter)
    Share. Facebook Twitter WhatsApp LinkedIn Telegram Email
    Francis Muli
    • Website
    • Facebook
    • X (Twitter)
    • Instagram
    • LinkedIn

    Follow me on Twitter @francismuli_ Email: Editor@Kahawatungu.com

    Related Posts

    DR Congo offers step towards truce, M23 condemns ‘manipulation’

    February 14, 2026

    ‘Notorious Tanzanian drug trafficker’ arrested during raid in Zambia

    February 4, 2026

    South Sudan’s leader sacks aides after dead man appointed

    February 4, 2026

    Comments are closed.

    Latest Posts

    At least nine dead in Congo drone strike that killed rebel spokesperson

    February 26, 2026

    Court jails man 40 years for brutal killing, dismemberment of employer in Kabete

    February 26, 2026

    Zimbabwe rejects ‘lopsided’ US health aid deal over data concerns

    February 26, 2026

    Larry Summers quits teaching at Harvard after Epstein probe

    February 25, 2026

    UN sanctions paramilitary leaders over Sudan atrocities

    February 25, 2026

    Trump’s State of the Union speech – at a glance

    February 25, 2026

    Who is Abigail Spanberger, the Democrat who gave the State of the Union response?

    February 25, 2026

    Man Arraigned at Makadara in Sh51 Million Fraud Case

    February 25, 2026
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    © 2026 Kahawatungu.com. Designed by Okii.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.