Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    KahawatunguKahawatungu
    Button
    • NEWS
    • BUSINESS
    • KNOW YOUR CELEBRITY
    • POLITICS
    • TECHNOLOGY
    • SPORTS
    • HOW-TO
    • WORLD NEWS
    KahawatunguKahawatungu
    EAST AFRICA

    Wanafunzi Watatu Nchini Burundi Wakabiliwa Na Kifungo Gerezani Kwa Kumchora Rais Nkurunziza Kikejeli

    Francis MuliBy Francis MuliMarch 22, 2019No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Email
    Mchoro ulioleta utata. [PICHA/ KWA HISANI]
    Share
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Pinterest Email Copy Link

    Wanafunzi watatu wa kike nchini Burundi walitiwa mbaroni wiki iliyopita kwa sababbu ya kumdhalilisha Rais Pierre Nkurunziza kupitia kuichora picha yake kikejeli.

    Kulingana na sheria ya nchi hiyo, wanafunzi hao sasa wanakabiliwa na kifungo cha miaka mitano gerezani kutokana na kosa hilo.

    .Wanagenzi hao watafikishwa mahakamani Jumatatu ijayo kwa kosa la kumkashfu mkuu wa nchi.

    Vyombo vya habari nchini humo vinaripoti kwamba wanafunzi hao walikamatwa na wengine wanne, ambao waliachiliwa baadaye katika hali tatanishi.

    Sio mara ya kwanza nchi hiyo imejipata kwenye kurunzi la kimataifa kwa kuwakamata wanafunzi wanaokejeli kiongozi wa nchi.

    Soma: Samaki Tani 11 Kutoka China Wateketezwa Tanzania Kwa Madai Ya Sumu

    Mnamo mwaka wa 2016, vyombo vya dola nchini humo viliwakamata wanafunzi nane wa shule ya sekondari kwa tuhuma za kumkashfu Rais baada ya kuchora michoro isiyofaa dhidi yake.

    Watetezi wa haki za kibinadamu nchini humo wamekashifu utawala wa Rais Nkurunziza kwa wanachokitaja kuwa unyanyasaji wa haki za wanafunzi wasiokubaliana na uongozi wake.

    Familia za wanafunzi hao zimeelezewa kuwa na hofu kwamba huenda serikali ikawageukia baada ya kuwaweka wanafunzi hao rumande muda huo wote.

    Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874. You can also find us on Telegram through www.t.me/kahawatungu

    Email your news TIPS to Editor@Kahawatungu.com — this is our only official communication channel

    Burundi Pierre Nkurunziza
    Follow on Facebook Follow on X (Twitter)
    Share. Facebook Twitter WhatsApp LinkedIn Telegram Email
    Francis Muli
    • Website
    • Facebook
    • X (Twitter)
    • Instagram
    • LinkedIn

    Follow me on Twitter @francismuli_ Email: Editor@Kahawatungu.com

    Related Posts

    Why are they targeted by Tanzanian authorities

    December 5, 2025

    President Samia rebukes foreign meddling in Tanzania’s affairs

    December 2, 2025

    One dead at Bobi Wine rally in Uganda, police say 

    November 29, 2025

    Comments are closed.

    Latest Posts

    Kenya on course as a regional security, trade, digital, and governance hub

    December 6, 2025

    McLaren prepared to use team orders in Abu Dhabi

    December 6, 2025

    Meta shifts some metaverse investments to AI smart glasses

    December 6, 2025

    US hits out at EU’s ‘suffocating regulations’ after it fines Elon Musk’s X

    December 6, 2025

    US vaccine panel votes to end recommendation for hepatitis B jabs for newborns

    December 6, 2025

    Trump administration says Europe faces ‘civilisational erasure’

    December 6, 2025

    Why More Buyers Are Choosing Premium Gold for Everyday Wear

    December 6, 2025

    The Homeowner’s Guide to Planning a Safe and Efficient Heat Room

    December 6, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    © 2025 Kahawatungu.com. Designed by Okii.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.