Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    KahawatunguKahawatungu
    Button
    • NEWS
    • BUSINESS
    • KNOW YOUR CELEBRITY
    • POLITICS
    • TECHNOLOGY
    • SPORTS
    • HOW-TO
    • WORLD NEWS
    KahawatunguKahawatungu
    EAST AFRICA

    Indo Solutions Yashutumiwa Baada Ya Kukiuka Mkataba Wa Korosho Na Nchi Ya Tanzania

    Wycliffe NyamasegeBy Wycliffe NyamasegeFebruary 19, 2019Updated:February 19, 2019No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Email
    indo solutions, tanzania
    ACT Wazalendo leader Zitto Kabwe [Photo/Courtesy]
    Share
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Pinterest Email Copy Link

    Kampuni ndogo kutoka Kenya ambayo ilijishindia kandarasi ya kununua korosho kutoka nchi jirani ya Tanzania bado haijafanya malipo yoyote mpaka sasa, hii ni kulingana na Kiongozi wa chama cha Wazalendo Zitto Kabwe Ruyagwa.

    Kabwe Ruyagwa anadai kuwa Indo Power Solutions Ltd ambayo ilitarajiwa kulipa dola milioni mia moja na themanini nuka mbili ($180.2/TZS 400B)haijawasilisha pesa zozote kwa mujibu wa mkataba wa pamoja na LC Magumashi.

    Akizungumza kupitia mtandao wa jamii wa Twitter siku ya Jumanne, Ruyagwa aidha alisema kuwa korosho bado hazijaweza kusafirishwa baada ya mabenki ambayo yalitarajiwa kufadhili shughuli hiyo kugoma.

    “Ile Kampuni ‘hewa’ kutoka Kenya iliyoingia mkataba wa kununua Korosho tani 100K kwa US$180m (TZS 400b) mpaka sasa haijalipa pesa kwa mujibu wa mkataba pamoja na LC magumashi, ” Ruyagwa alisema.

    “Korosho hazijabebwa na mabenki ya ndani yaliyofuatwa kutoa pesa yamegoma. Serikali ya CCM #Maarifaless.”

    https://twitter.com/zittokabwe/status/1097800652196057088

    Aliilaumu Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inayoongozwa na raisi John pombe Magufuli kwa kukosa kutoa mwongozo bora.

    Madhara ya maamuzi fyongo Kuhusu Korosho pamoja na sera za hovyo za Uchumi. Gharama za kuagiza bidhaa kutoka nje ( mafuta, mashine na malighafi) zinakuwa kubwa sana ilhali mauzo yetu nje kiduchu. Serikali ya CCM inatoa kipaumbele kwenye UKATILI dhidi ya Watu,Uchumi chali pic.twitter.com/wdw0Lusefd

    — Zitto MwamiRuyagwa Kabwe (@zittokabwe) February 19, 2019

    Kampuni ya Indo Power Solutions ikiwakilishwa na mkurugenzi mtendaji  Brian Mutembei  iliingia katika mkataba wa kununua korosho kutoka kwa wakulima wa nchi ya Tanzania mnamo Januari 30 mwaka huu. Hii ni baada ya kuzipiku kampuni zingine nane zilizokuwa zimeonyesha nia katika biashara ya korosho.

    Licha ya kampuni hiyo kutotambulika hau kuwa na uzoefu wa kununua au kuuza korosho ilipewa kandarasi hiyo.

    Read: Rais Magufuli Atoa Shilingi Milioni 200 Kufadhili Kituo Cha Redio Cha Magic FM, Kinachomilikiwa Na CCM

    Mkurugenzi wa bodi ya nafaka nchini Tanzania Hussein Mansour aliidhinisha mkutaba huo katika makao makuu ya Jumuia ya Afrika mashariki mjini Arusha.

    Vile vile, waziri wa sheria Palamagamba Kabudi, waziri wa biashara Joseph Kakunda na gavana mkuu wa benki kuu ya Tanzania Florens Luoga ni miongoni mwa viongozi waliohudhuria hafla iyo.

    Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874. You can also find us on Telegram through www.t.me/kahawatungu

    Email your news TIPS to Editor@Kahawatungu.com — this is our only official communication channel

    Chama Cha Mapinduzi Indo Power Solutions Ltd Korosho Raisi John Pombe Magufuli Tanzania
    Follow on Facebook Follow on X (Twitter)
    Share. Facebook Twitter WhatsApp LinkedIn Telegram Email
    Wycliffe Nyamasege

    Email news@localhost

    Related Posts

    17 Western diplomatic missions urge Tanzania to address abuses, demand independent inquiry

    December 5, 2025

    Ghana calls for restraint and accountability amid post-election unrest in Tanzania

    December 4, 2025

    President Samia rebukes foreign meddling in Tanzania’s affairs

    December 2, 2025

    Comments are closed.

    Latest Posts

    Cary-Hiroyuki Tagawa, actor who performed in ‘Mortal Kombat,’ dies at 75

    December 5, 2025

    Monique Lamoureux-Morando Siblings: Meet the Siblings Squad Behind the Ice Hockey Icon

    December 5, 2025

    Matthew Tkachuk Siblings: All About Brady and Taryn Tkachuk

    December 5, 2025

    10 Women Legislators Graduate from Parliamentary Gender Equality Programme

    December 5, 2025

    Tony Durant Siblings: Meet Kevin, Brianna and Rayvonne Pratt

    December 5, 2025

    Police Recover Bhang Worth Over Sh 2 Million in Busia County

    December 5, 2025

    Police Investigate Mob Killing After Missing Rifle Found in Thika East

    December 5, 2025

    17 Western diplomatic missions urge Tanzania to address abuses, demand independent inquiry

    December 5, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    © 2025 Kahawatungu.com. Designed by Okii.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.