Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    KahawatunguKahawatungu
    Button
    • NEWS
    • BUSINESS
    • KNOW YOUR CELEBRITY
    • POLITICS
    • TECHNOLOGY
    • SPORTS
    • HOW-TO
    • WORLD NEWS
    KahawatunguKahawatungu
    EAST AFRICA

    Tanzania Yabatilisha Sherehe Za Siku Ya Wanawake Duniani, Yavitaka Vyama Pinzani Kujiunga Na Serikali Katika Maadhimisho Rasmi

    Francis MuliBy Francis MuliMarch 8, 2019No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter WhatsApp Telegram Pinterest Email Copy Link

    Serikali ya Muungano wa Tanzania imebatilisha sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani katika mikoa miwili, na kuviomba vyama andalizi kujiunga na serikali katika maadhimisho rasmi.

    Sherehe hizo zilikua zimeandaliwa na chama cha Chadema katika Mkoa wa Geita na Act Wazalendo katika Mkoa wa Katavi.

    Aidha, barua kutoka wakuu wa jeshi la polisi la mikoa yote miwili zilizolifikia chapisho la Kahawa Tungu zimewataka wakuu wa vyama hivyo kuweka kando mipangilio yao na badala yake kujiunga na serikali kuadhimisha siku hiyo.

    Read: Indo Solutions Yashutumiwa Baada Ya Kukiuka Mkataba Wa Korosho Na Nchi Ya Tanzania

    “Kwa barua hii ninawazuia kufanya maadhimisho hayo katika ukumbi wa Moyo wa Huruma na badala yake wanawake wote waungane na wanawake wenzao katika maeneo hayo yaliyotajwa kiserikali. Hii ni pamoja na kuzuia kufanya matangazo yoyote yanayohusiana na kufanya maadhimisho hayo kwa itikadi za kanisa,” alisema Ally A Kitumbu, Mkuu wa Polisi wa Geita.

     

     

    Hali ilikua hiyo hiyo katika Mkoa wa Katavi, Wilaya ya Mpanda ambapo mkuu wa polisi katika wilaya hito alisema: “Kwa kuwa ni siku ya kitaifa ya wanawake haitawezekana kuwepo makundi mawili katika maadhimisho hayo. Nawashauri tuungane pamoja siku hiyo kimkoa au mnaweza kufanya siku moja kabla ya tarehe 08/03/2019 au baada ya tarehe hiyo.”

    Wa aidha, kiongozi wa Chama cha Act Wazalendo Zito Kabwe Ruyagwa ametaja kitendo hicho kama dalili za udikteta kutoka kwa Raisi John Pombe Magufuli.

    “The letters seems similar contentwise signifying ‘orders from the top’ (Barua hizi zinafanana katika yaliyomo, zikiashiria ‘amri kutoka juu’,” alisema Kabwe katika mtandao wa kijamii wa Twitter.

    Email your news TIPS to Editor@kahawatungu.com or WhatsApp +254707482874. You can also find us on Telegram through www.t.me/kahawatungu

    Email your news TIPS to Editor@Kahawatungu.com — this is our only official communication channel

    International Women's Day Tanzania
    Follow on Facebook Follow on X (Twitter)
    Share. Facebook Twitter WhatsApp LinkedIn Telegram Email
    Francis Muli
    • Website
    • Facebook
    • X (Twitter)
    • Instagram
    • LinkedIn

    Follow me on Twitter @francismuli_ Email: Editor@Kahawatungu.com

    Related Posts

    Ruto to represent Africa at G7 Summit 

    June 15, 2026

    Kenya, Rwanda removed from Israel’s Ebola-related travel restriction list

    June 15, 2026

    Met: Most Parts of Kenya Expected to Remain Dry Over the Next Week

    June 15, 2026

    Comments are closed.

    Latest Posts

    Ruto to represent Africa at G7 Summit 

    June 15, 2026

    Kenya, Rwanda removed from Israel’s Ebola-related travel restriction list

    June 15, 2026

    Met: Most Parts of Kenya Expected to Remain Dry Over the Next Week

    June 15, 2026

    MPs Push for Urgent Legal Reforms to Address Recurring Election-Related Party Disputes

    June 15, 2026

    Government to Launch NYOTA Phase Two on June 27

    June 15, 2026

    Legal Woes Deepen for Mombasa-Based Scribe Accused of Extortion

    June 15, 2026

    Valeria Bruni Tedeschi Siblings: Meet Carla and Virginio Bruni Tedeschi

    June 15, 2026

    Louis Garrel Siblings: Getting to Know Esther Garrel

    June 15, 2026
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    © 2026 Kahawatungu.com. Designed by Okii.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.